News Detail

Walter Sicho June 8, 2019

Maonyesho Ya Kilimo

Kwa mara nyingine, wakulima wote katika jimbo ndogo la Mosop wanakaribishwa kwenye hafla muhimu ya washikadau wote katika sekta hii ili kuzungumzia jinsi ya kuboresha ukuzaji wa ngombe wa maziwa kutumia teknolojia na mbinu za kisasa. Karibuni #NandiYabadilika #TugaTai

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *